Banner 468 x 60px

 

Saturday, 23 July 2016

Sam Allardyce meneja mpya wa England

0 comments
Amekuwa meneja wa klabu ya Sunderland.
Allardyce, ajulikanaye sana kama Big Sam, ametia saini mkataba wa miaka miwili, ambao utampatia jukumu la kuandaa na kuongoza timu hiyo hadi mwisho wa Kombe la Dunia la 2018.
Anamrithi Roy Hodgson, aliyejiuzulu baada ya England kuondolewa kutoka kwa michuano ya ubingwa Ulaya nchiniUfaransa baada ya kushindwa na Iceland.

0 comments:

Post a Comment