Banner 468 x 60px

 

Saturday, 23 July 2016

OASIS SHIP

0 comments
Oasis of the Seas isn't a ship for the sit-back-and-cruise set. It's a destination for bold explorers, with whole neighborhoods that await your discovery. Show adventure who's boss at the Pool and Sports Zone, take a spin on the classic carousel at the Boardwalk, or discover seven nights of excitement at Entertainment Place. From ziplining to surfing, dining discoveries to DreamWorks characters onboard – this is a ship where anything is possible.


Read more...

Kwa Picha: Magari ya umeme yaanza kazi Kenya

0 comments
Read more...

Takriban 70 wauawa na mafuriko China

0 comments








Mvua kubwa imesababisha vifo vya takriban watu 70 nchini China na kuwalazimu mamia ya wengine kuhama makwao.
Maelfu ya nyumba nzo zimeporomoka. Viwango vya maji katika bwagwa kubwa zaidi nchini humo vimepanda na kufikia mita 164.
Mikoa ya Hubei, Liaoning, Hebei na Henan yote imeathirika vibaya na hali hiyo mbaya ya hewa.
Read more...

Watu tisa wauawa shambulio Munich, Ujerumani

0 comments
Watu tisa wameuawa na wengine 10 kujeruhiwa baada ya watu wenye bunduki waliowafyatulia risasi watu katika jumba moja la kibiashara mjini Munich, Ujerumani.
Polisi wanasema washukiwa bado hawajakamatwa na wamewatahadharisha watu na kuwashauri kutotoka nje.
Wanachunguza iwapo mmoja wa waliofariki ni mtuhumiwa.



 Operesheni kubwa ya kiusalama inaendelea katika jumba la kibiashara la Olympia, ambalo linapatikana mtaa wa Moosach, kaskazini magharibi mwa Munich.


Maafisa wa polisi jimbo la Bavaria wamekuwa katika hali ya tahadhari tangu Jumatatu kijana mhamiaji alipowadunga visu na kuwajeruhi watu kadha katika treni, shambulio ambalo kundi la Islamic State lilidai kuhusika.
Polisi wamesema shambulio hilo ni la kigaidi.
Read more...

Sam Allardyce meneja mpya wa England

0 comments
Amekuwa meneja wa klabu ya Sunderland.
Allardyce, ajulikanaye sana kama Big Sam, ametia saini mkataba wa miaka miwili, ambao utampatia jukumu la kuandaa na kuongoza timu hiyo hadi mwisho wa Kombe la Dunia la 2018.
Anamrithi Roy Hodgson, aliyejiuzulu baada ya England kuondolewa kutoka kwa michuano ya ubingwa Ulaya nchiniUfaransa baada ya kushindwa na Iceland.
Read more...

Programu za vyuo vikuu ambazo hazijasajiliwa na TCU na NACTE kufutwa

0 comments


 Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi Bi. Maimuna Tarishi ameitaka Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE)   kufuta programu zinazotolewa na vyuo vikuu hapa nchini ambazo hazijafanyiwa tathmini wala kusajiliwa.

Katibu Mkuu huyo ameyasema hayo leo alipokuwa akifunga maonyesho ya kumi na moja ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia yaliyoanza Julai 20 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.

“Wakati mwingine najiuliza inakuwaje chuo kinafundisha programu ambayo haijatathminiwa wala kusajiliwa na TCU au NACTE, ni lazima tuwe makini kwani tunahitaji elimu bora katika vyuo vyote nchini bila kuangalia kama ni cha Serikali au ni Binafsi,” alifafanua Bi. Tarishi.

Aliendelea kwa kusema kuwa, TCU na NACTE wanajukumu ya kuzifuta programu hizo na kuanzisha programu zenye uhitaji mkubwa kama vile shahada ya mafuta na gesi, Kompyuta na Ualimu wa Sayansi ambapo wataalamu katika maeneo hayo wamekuwa wakihitajika zaidi katika kipindi hiki ambacho Serikali ya Awamu ya Tano inajikita zaidi katika uanzishwaji wa viwanda.

Aidha Bi. Tarishi amewataka TCU na NACTE kudahili wanafunzi wenye vigezo vinavyohitajika na kusisitiza kuwa ni bora kuwa na wanafunzi wachache katika vyuo vikuu kuliko kuwa na wanafunzi wengi ambao hawana sifa.

Wakati huo huo Mkuu wa Kitivo cha Biashara Chuo Kikuu cha Zanzibar Salehe Mwinyi amesema kuwa wanafunzi wengi wamejitokeza kutembelea banda la Chuo hicho kutaka kujua pogramu zinazotolewa na wengi wao wameonyesha nia ya kujiunga katika Chuo hiko.

Vile vile Mwinyi amesema kuwa mwaka huu idadi ya wanafunzi waliotembelea maonyesho hayo ni wengi zaidi kutokana na eneo lililochaguliwa kufikika kwa urahisi kutoka pande zote za jiji la Dar es Salaam ukilinganisha na mwaka jana ambapo yalifanyika viwanja vya Saba Saba na kutembelewa na idadi ndogo ya wanafunzi na wazazi.

Kwa upande wake, Fadia Suleiman mwanafunzi anayetegemea kujiunga na Chuo Kikuu mwaka huu, amesema kuwa maonyesho hayo yamemsaidia kwa kiasi kikubwa kujua ni programu gani asome kutokana na ufaulu wake wa kidato sita.

Maonyesho ya  Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia ambayo huandaliwa na TCU hufanyika kila mwaka yakitoa fursa kwa Vyuo Vikuu vya ndani na nje ya nchi kutoa elimu kwa wazazi na wanafunzi wanaotegemea kujiunga na vyuo vikuu kwa mwaka husika juu ya programu zinazotolewa na vyuo hivyo pamoja na kutoa ushauri ni programu gani mwanafunzi asome kwa kuangalia ufaulu wake.
Read more...

Man United yapewa kipigo cha kwanza chini Mourinho..Mwenye Atatea Timu yake

0 comments
Jose Mourinho amesisitiza kwamba hawezi kujaji wachezaji wake wa Manchester United kutokana na kipigo cha mabao 4-1 walichokipata kutoka kwa  Borussia Dortmund na kusema kwamba: “Injini ilikuwepo ilikuwa ni tofauti kabisa, iliku ni kati ya Formula One against Formula Three”

“Mawazo yangu ni rahisi mno,” alisema Mourinho. “Najua kwamba wakati huu wa pre-season timu ambayo iko vizuri kwenye maandalizi lazima iwe vizuri zaidi ya rimu nyingine.”

“Hii hutokea kila mwaka. Baadhi ya timu bora hupoteza kwa magoli mengi. Nadhani hili lipo wazi kabisa. Baada ya dakika 10, tulianza kujua kwamba timu moja ilianza mazoezi siku 10 zilizopita na kucheza mchezo mmoja na nyingine ilianza mwezi mmoja uliopita na imeshacheza michezo minne. Ni rahisi mno kuona kuona utofauti wa ugumu wa mchezo na umakini wa wachezi. Kwa upande wetu ulikuwa ni mchezo mgumu sana.

Kipindi cha pili tulikuwa wazuri na kuuzoea zaidi mchezo. Nadhani matokeo ya mabao 3-2 yangekuwa sahihi zaidi ya 4-1 lakini Dortmund walionesha ubora mkubwa waliokuwa nao, kwa mchezaji mmoja-mmoja na timu nzima. Walionesha kwamba walikuwa wameshapiga hatua kubwa kwenye mazoezi zaidi yetu.

Alipoulizwa kama angewajaji wachezaji wake kutokana na mchezo ule, Mourinho akajibu: “Mimi nadhani ni muunganiko wa sababu vitu mbalimbali. Lakini kwa kuzungumzia uhalisia wenyewe, sidhani kama naweza kuwafanyia tathmini ilhali kulikuwa na utofauti mkubwa kati ya timu hizi. Kwa sasa injini zina utofauti mkubwa. Formula One dhidi ya Formular Three.

‘Kwa sasa, wapo vizuri zaidi na unaweza kuona hilo kirahisi zaidi, hivyo ni vigumu sana kuwajaji wachezaji wangu. Hata kwenye masuala kama haya, unaweza kupata wachezaji watatu, wanne au watano. Vinginevyo ni vigumu sana japo unaweza kuona ubora uliopo.”
Read more...

Vyeti ni gonjwa kwa watumishi, wengi wahaha kutangaza vimepotea

0 comments
Wakati serikali ikiendelea kuhakikisha vyeti kubaini watumishi wasiokuwa na sifa, watu wengi wamejitokeza kutangaza kupotelewa na vyeti magazetini

Katika kipindi ambacho taasisi mbalimbali zinaendelea na zoezi hilo imebainika kuwa siku za nyuma kulikuwa na matangazo ya aina tofauti lakini kwa juzi kumetokea mtiririko wa watu kutangaza kupotelewa na vyeti hali isiyo ya kawaida kwa taifa.

Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia na Ufundi , Profesa Joyce Ndalichako alisema juzi kuwa serikali itafanya uhakiki wa vyeti katika vyuo na sehemu za kazi.

Naye Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF)Godius Kahyarara juzi alitoa waraka akisema wafanyakazi watakaoshindwa kuwasilisha vyeti vyao halisi hawatalipwa mishahara.
Read more...

Wednesday, 20 July 2016

Zari akana kuwa na mtoto mkubwa wa kike

0 comments
Taarifa zimesambaa mtandaoni kuwa mpenzi wa msanii, Diamond Platnumz, ambaye amezaa naye mtoto mmoja, Tiffa,Zari kuwa ana mtoto mkubwa aitwaye Zuleha ambaye amekuwa akimficha na kumtambulisha mbele za watu kuwa ni mdogo wake, Zari amekanusha taarifa hizo. ‘’Mimi mbona sina mtoto mwingine wa kike zaidi ya Tiffah tu, achana na ambao hawana akili wavuta bangi, wanatafuta kiki, hasira zao wananitolea mimi, anahangaika na maisha, nina watoto watatu wa kiume na mmoja wa kike na kila mtu anawafahamu hayo mambo mengine siyajui" Alisema Zari.
Read more...

Sunday, 17 July 2016

WADADA WA MWENDO KASI

0 comments

Read more...

Jose Mourinho amkubali dogo huyu kwa vipaji vingi

0 comments




Magoli kutoka kwa Will Keane na Pereira yaliipa Man United mwanzo mzuri katika maandalizi ya msimu wanapo jipanga kuikabili Borussia Dortmund huko Shanghai
Jose Mourinho amesisitiza kuwa kinda la Manchester United Andreas Pereira ana kipaji kukubwa baada ya kuonesha uwezo United ikishinda 2-0 dhidi ya Wigan Athletic.
Mbrazili huyo aliingia kipindi cha pili baada ya Mourinho kufanya mabadiliko saba katika uwanja wa DW na alifanya kazi nzuri kumshawishi bosi wake mpya.
Magoli kutoka kwa Will Keane na Pereira yaliipa Man United mwanzo mzuri katika maandalizi ya msimu wanapo jipanga kuikabili Borussia Dortmund huko Shanghai.
Akizungumzia ufanisi wa mchezaji huyo, Mourinho alidai kuwa Pereira ana uwezo mkubwa, maono na mbinu.
"Andreas ana vipaji vingi," alisema. "Ana mbinu na maono ya kipekee," aliongeza Mourinho.
"Hivyo naongelea wachezaji wawili ambao kwa uhalisia ni watoto, bila ya presha na katika mazingira tulivu na hawajatisha zaidi lakini wapo vizuri."
Louis van Gaal alisitisha uhamisho wake wa mkopo msimu uliopita lakini hakuweza kupata muda wa kucheza na hali hiyo ilimfanya kinda huyo kuwa na jazba nyingi Old Trafford.
Mourinho anaelewa uwezo wake na goli lake limedhihirisha uwezo wake kufanya maajabu dimbani kwa kuupeleka mpira kwenye kona ya juu kwa shuti lake la kwanza.
Tumaini lipo kwamba atapata fursa katika kikosi cha Mourinho msimu huu, lakini uhamisho wa mkopo ungemsaidia pia kwa sababu anastahili kupewa muda wa kutosha dimbani.
Read more...

Marufuku viberiti na mishumaa mabwenini

0 comments
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepiga marufuku matumizi ya viberiti, mishumaa na heater za kuchemshia maji kwa wanafunzi wa bweni ili kuepusha majanga ya moto na atakayekutwa atachukuliwa hatua kali.
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitembelea Shule ya Sekondari Lindi baada ya shule hiyo kuteketea kwa moto hivi karibuni.
“Kuna tabia ya baadhi ya wanafunzi hasa wa masomo ya fizikia kutengeneza vifaa vya kienyeji vya kuchemsha maji mabwenini jambo hili ni la hatari kwani linaweza kusababisha ajali ya moto, hivyo ni marukufu kwa mwanafunzi kutumia vifaa hivyo,” alisema.
Waziri Mkuu ametoa agizo hilo leo (Jumapili, Julai 17, 2016) katika harambee ya kuchangisha fedha za ujenzi wa majengo ya shule ya sekondari Lindi yaliyoungua moto usiku wa kuamkia Julai 10 mwaka huu.
Katika ajali hiyo shule imeathirika kwa asilimia 34 ambapo vyumba tisa vya madarasa, jengo lenye matundu 26 ya vyoo na jengo la maabara ya kemia na fizikia yameungua na kusababishia hasara ya sh. milioni 682.78.
Waziri Mkuu amesema kwa namna ambavyo majengo hayo yameungua ni vema yakavunjwa na kujengwa upya ambapo aliwataka kutumia nafasi hiyo kwa kujenga jengo la ghorofa ili kutumia eneo dogo kwa kujenga madarasa mengi.
Pia alimuagiza Mkuu wa mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi kuhakikisha fedha zitakazopatikana katika harambee hiyo zinatumika kama ilivyokusudiwa.
Harambee ilihudhuriwa na mke wa Waziri Mkuu, Mary Majaliwa, mke wa Rais mstaafu wa awamu ya nne, mama Salma Kikwete, mkuu wa mkoa wa Mtwara, Halima Dendego pamoja na wadau wa maendeleo na wanafunzi waliosoma shule hiyo akiwemo Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhandisi Ramo Makani.
Katika hatua nyingine Waziri Mkuu amezitaka taasisi mbalimbali nchini kufunga vifaa vya kuzimia moto katika majengo yao kwa ajili ya kuvitumia pindi ajali za moto zinapotokea.
Read more...

KINARA WA MAPINDUZI UTURUKI AKAMATWA

0 comments
Jenerali Erdal Ozturk (katikati) aliyekuwa kinara wa jaribio akiwa mikononi mwa wananchi.
Jenerali Erdal Ozturk aliyekuwa kinara wa jaribio lililoshindikana la mapinduzi ya rais nchini Uturuki amekamatwa, huku viongozi wengine wa mapinduzi hayo saba wakifanikiwa kutoroka na kukimbilia nchi jirani ya Uturuki kwa kutumia Helikopta.
Jenerali Erdal Ozturk (kulia) enzi akiwa kazini.
Hata hivyo viongozi hao waliokimbilia nchini Uturuki wakiwemo mameja wawili, makapteni watano na raia mmoja wamekamatwa nchini humo kwa kile kilichoripotiwa kuingia nchini humo bila kibali.Jenerali Erdal Ozturk aliyekuwa kamanda mkuu wa kikosi namba tatu tayari amekamatwa na kuwekwa mahabusu wakati akisubiri hatma yake na huenda akanyongwa ikiwa atapatikana na hatia hiyo.

Mapinduzi hayo yalishindikana baada ya wananchi wengi kujitokeza kumsapoti Rais Recep Erdogan, ambaye ametamka bayana kwamba wote waliohusika na jaribio hilo lililoshindikana watakabiliwa na adhabu ya kifo.
Read more...

Report: Mourinho has four Manchester United players for sale

0 comments
WIGAN, ENGLAND - JULY 16: Manchester United manager Jose Mourinho looks on during the pre season friendly match between Wigan Athletic and Manchester United at the JJB Stadium on July 16, 2016 in Wigan, England. (Photo by Chris Brunskill/Getty Images)

Report: Mourinho has four Manchester United players for sale

Jose Mourinho has assessed his talent, knows his starting attackers, and is ready to offload four Manchester United players.
That’s all in a report from Duncan Castles on The Daily Record.
Castles said United will start Zlatan Ibrahimovic up top, with Wayne Rooney sitting underneath. The wingers will be Anthony Martial and Henrikh Mkhitaryan.
[ MORE: Chelsea needs to “recover” Hazard ]
More interestingly, Castles says the Mourinho has put four players on the selling block: Juan Mata, Daley Blind, Bastian Schweinsteiger and Marcos Rojo. And there could be more.
From the Daily Record:
When arriving at his previous clubs Mourinho has always attempted to minimise squad turnover in his first summer, preferring to back his training methods and man management to rehabilitate players who supporters would happily have seen depart.
In such disrepair is United’s squad following Louis Van Gaal‘s scatter-gun spending and confidence killing coaching, there is an acceptance that Mourinho will have to move more footballers than usual.
Castles seems to conclude that Paul Pogba arriving at Old Trafford is a foregone conclusion, and that Marouane Fellaini will survive the axe.
Two of the sale items aren’t surprises: Rojo doesn’t seem like a fit for a Mourinho system, and Schweinsteiger wouldn’t necessarily play a role at this stage in his career. Blind isn’t a major shock, but does seem a player that could fit with Mourinho. Mata probably doesn’t want to stay, given his relationship with The Special One.
Mata and Schweinsteiger could return to their home countries, though there should be demand for Mata in England (perhaps even across town in Manchester?).

Read more...

THE UNIVERSITY OF DODOMA COED

0 comments
THE UNIVERSITY OF DODOMA COED UNIVERSITY EXAM FOR UNDERGRADUATE
Image
                                STUDENTS SEMESTER 2,2015/2016 [FINAL VERSION]




kwa wanafunzi wa coed nawatakia mtihani mwema.

kwa sasa blog yangu imefunguliwa chochote comment au uliza
Read more...

Lionel Messi to sign new Barcelona deal

0 comments
Lionel Messi

Top story: Messi to sign new deal, Mourinho wants Fabinho

Lionel Messi has had a tough time of it of late. But he could be rewarded with a new contract by Barcelona when he gets back from holiday. Mundo Deportivo say that the forward will sign until 2021, with his current deal ending in 2018. The club are also scouting 19-year-old Santos forward Gabriel Barbosa. The Brazilian has also been linked with Chelsea, but told a news conference that "soon we will know something more" about his future.
Meanwhile, Jose Mourinho is looking to strengthen his Manchester United defence by adding £22 million-rated Monaco right-back Fabinho, according to the Sun.
Fabinho, 22, is a Brazil international and has impressed in three seasons with Monaco, helping them to qualify for the Champions League on three occasions. And, would you believe it, Fabinho and Mourinho share an agent. Yes, that man Jorge Mendes, and it isn't the first time the pair have done business with the player either. Fabinho spent a season on loan with Real Madrid in 2012-13 when Mourinho was in charge at the Bernabeu.
Read more...